Mimi ni Mungu nikupendaye
Nilikupenda na nitazidi kukupenda Kwa maana mimi ni Mungu wako Nikupendaye
Njoo Ujifunze Huruma na Upendo Wangu
Samehe nawe utasamehewa. Fadhili nawe utafadhiliwa. Hifadhi nawe utaifadhiwa. Naam, mimi ni Mungu nikupendaye na Kukuhurumia
Mimi Mungu huwezi kunificha kwa lolote
Mimi ndiye niliyekupa uwezo wa kufikiri na kuamua. Je, unazani unaweza kunificha kitu? Fahamu tuu kwamba ninajua yote.
Usitishwe na chochote, Mimi nipo
Furahia shangilia wewe uliye wangu. Uambie Moyo wako upo salama kwa Mungu wako. Kwa maana, Mungu wako ni Mkuu kati ya hao wote
Jipe moyo, Mimi ni Mungu wako
Jipe moyo mwanagu kwa kuwa mimi ni Mungu wako. Hayo yote yatapita, Kama usiku uutanguliavyo mchana.
Mwaliko wa Toba ya Baraka
Mwanagu, acha dhambi zako na unirudie mimi. Ninayafahamu mapungufu yako na madhaifu yako. Tubu kwa moyo wako wote nami nitafanya njia