• Sun. Mar 26th, 2023

Mungu.Me

Ujumbe wa Mungu Kwako

Month: July 2021

  • Home
  • Mimi ni Mungu nikupendaye

Mimi ni Mungu nikupendaye

Nilikupenda na nitazidi kukupenda Kwa maana mimi ni Mungu wako Nikupendaye

Njoo Ujifunze Huruma na Upendo Wangu

Samehe nawe utasamehewa. Fadhili nawe utafadhiliwa. Hifadhi nawe utaifadhiwa. Naam, mimi ni Mungu nikupendaye na Kukuhurumia

Mimi Mungu huwezi kunificha kwa lolote

Mimi ndiye niliyekupa uwezo wa kufikiri na kuamua. Je, unazani unaweza kunificha kitu? Fahamu tuu kwamba ninajua yote.

Usitishwe na chochote, Mimi nipo

Furahia shangilia wewe uliye wangu. Uambie Moyo wako upo salama kwa Mungu wako. Kwa maana, Mungu wako ni Mkuu kati ya hao wote

Jipe moyo, Mimi ni Mungu wako

Jipe moyo mwanagu kwa kuwa mimi ni Mungu wako. Hayo yote yatapita, Kama usiku uutanguliavyo mchana.

Mwaliko wa Toba ya Baraka

Mwanagu, acha dhambi zako na unirudie mimi. Ninayafahamu mapungufu yako na madhaifu yako. Tubu kwa moyo wako wote nami nitafanya njia