Ni afadhali kunikubali kuliko kunikataa

Ni afadhali kunikubali mimi, kuliko kunikataa

Kwa maana njia zangu ni njema

Je, ni kawaida mtu kukataa kitu kizuri na kuchagua kibaya?

La, Si kawaida. 

Kama sio kawaida, wawezaje kunikataa?

Ni afadhali kunikubali kuliko kunikataa Read More »