Acha kuwaza na kunuia kufanya mabaya

Mimi ni Mungu wako, ninayafahamu mawazo yako wakati wote.

Acha kuwaza na kunuia kufanya mambo mabaya, Kwa maana Unazuia Baraka na Rehema zako.

Matendo yako yanaongozwa na nia na mawazo yako.

Chunga nia na mawazo yako kwa kuwa ndiyo njia ya kuelekea kwenye matendo mabaya, kama ikiwa mbaya.

Scroll to Top