Watie moyo walio wangu
Waambie watu wangu wajipe moyo Waambie wasihofu wala kufadhaika Kwa maana Mimi Naja kuwaokoa Sitawaacha, Kwa kuwa Mimi ni Mungu wao
Waambie watu wangu wajipe moyo Waambie wasihofu wala kufadhaika Kwa maana Mimi Naja kuwaokoa Sitawaacha, Kwa kuwa Mimi ni Mungu wao