Mimi ndiye Mungu wako
Mimi ndiye Mungu wako Mimi ni wa Mwanzo na Mwisho Mimi ndiye wako sahihi wa kufuata Nifuate unijue mimi
Wewe ni Taa, Waangaze
Wewe ni Taa, Taa imulikayo Gizani Wenzio wako gizani, wewe ndio wa kuwaonyesha njia Mimi ni mwanga, Naam wewe upo na mimi Wamulike… Wajione Wamulikie… Wanifuate Kwa maana nawapenda wote.…
Njoo Ujifunze Huruma na Upendo Wangu
Samehe nawe utasamehewa. Fadhili nawe utafadhiliwa. Hifadhi nawe utaifadhiwa. Naam, mimi ni Mungu nikupendaye na Kukuhurumia
Acha kuwaza na kunuia kufanya mabaya
Acha kuwaza na kunuia kufanya mambo mabaya, Kwa maana Unazuia Baraka na Rehema zako. Chunga nia na mawazo yako kwa kuwa ndiyo njia ya kuelekea kwenye matendo mabaya.