Mimi Mungu huwezi kunificha kwa lolote
Mimi ndiye Mungu niliyekuumba
Mimi ndiye niliyekupa uwezo wa kufikiri na kuamua
Je, unazani unaweza kunificha kitu?
Kwa nini unasema neno jema na kunuia neno baya?
Fahamu tuu kwamba ninajua yote.
Mimi Mungu huwezi kunificha kwa lolote Read More »