Mwanagu Nisikilize
Rafiki…
Sikia sauti yangu na kupokea fundisho langu
Kwa maana huo ndio mwelekeo sahihi
Mwanagu Nisikilize Read More »
Rafiki…
Sikia sauti yangu na kupokea fundisho langu
Kwa maana huo ndio mwelekeo sahihi
Mwanagu Nisikilize Read More »
Ni afadhali kunikubali mimi, kuliko kunikataa
Kwa maana njia zangu ni njema
Je, ni kawaida mtu kukataa kitu kizuri na kuchagua kibaya?
La, Si kawaida.
Kama sio kawaida, wawezaje kunikataa?
Ni afadhali kunikubali kuliko kunikataa Read More »
Kwa nini unanionea haya?
Kwa nini unaona ugumu kunitaja?
Je, mimi si ndiye niliyefanya haya yote?
Kwa nini unaona haya juu yangu? Read More »
Sijakuita uishie hapa
Nilikuita ili ufike mbali
Naam Mbali kuliko hapa
Sijakuita nikuache hapa Read More »
Furahia shangilia wewe uliye wangu
Starehe na utilize Moyo wako
Uambie Moyo wako upo salama kwa Mungu wako
Kwa maana, Mungu wako ni Mkuu kati ya hao wote
Usitishwe na chochote, Mimi nipo Read More »
Sikia MWanangu sikia…
Kama vile baba mwema Ampendavyo mwanaye
Ndivyo nami nakujali wewe
Ninakupenda upeo
Sikia Mwanangu Sikiliza Read More »
Nuia kufanya Mambo mema mara zote, nawe utabarikiwa.
Kuwa na nia njema ni sawa na kutembea na Baraka zako.
Makusudio yako ndio Baraka zako
Kwa maana, ninaangalia nia za moyo wako, kwa kuwa huyo ndiyo wewe.
Lenga Kutenda mema nami nitakubariki Read More »