Mwanagu Nisikilize
Rafiki… Sikia sauti yangu na kupokea fundisho langu Kwa maana huo ndio mwelekeo sahihi
Mimi ndiye Mungu wako
Mimi ndiye Mungu wako Mimi ni wa Mwanzo na Mwisho Mimi ndiye wako sahihi wa kufuata Nifuate unijue mimi
Kwa nini unaona haya juu yangu?
Kwa nini unanionea haya? Kwa nini unaona ugumu kunitaja? Je, mimi si ndiye niliyefanya haya yote?
Mwanagu, Sikiliza sauti yangu nawe utanufaika
Mwanagu, Sikiliza sauti yangu nawe utanufaika… Tazama nimepnga mambo mengi mema kwako Naam… Yatakupata mema Mimi Mungu nimesema
Twende tusonge mbele
Nalikuita, Ukaja. Kwa nini unasita sasa? Songa mbele… Mimi ni Mungu wako Nikuongozaye
Watie moyo walio wangu
Waambie watu wangu wajipe moyo Waambie wasihofu wala kufadhaika Kwa maana Mimi Naja kuwaokoa Sitawaacha, Kwa kuwa Mimi ni Mungu wao