Twende tusonge mbele
Nalikuita, Ukaja.
Kwa nini unasita sasa?
Songa mbele…
Mimi ni Mungu wako Nikuongozaye
Twende tusonge mbele Read More »
Nalikuita, Ukaja.
Kwa nini unasita sasa?
Songa mbele…
Mimi ni Mungu wako Nikuongozaye
Twende tusonge mbele Read More »
Jipe moyo mwanagu kwa kuwa mimi ni Mungu wako
Hayo yote yatapita, Kama usiku uutanguliavyo mchana
Pambazuko laja na Baraka zako
Naam, Mimi ni Mungu wako
Jipe moyo, Mimi ni Mungu wako Read More »
Wakati ukiwa mdogo nalikujua,
Wakati ungali kijana nalikutambua,
Maisha yako yapo mikononi mwangu
Ninazihesabu hatua zako zote
Nimepanga kukupa wokovu
Kwa maana mimi ndiye Mungu Niokoaye
Sikia MWanangu sikia…
Kama vile baba mwema Ampendavyo mwanaye
Ndivyo nami nakujali wewe
Ninakupenda upeo
Sikia Mwanangu Sikiliza Read More »
Mwanagu, acha dhambi zako na unirudie mimi.
Ninayafahamu mapungufu yako na madhaifu yako
Ninaweza kufanya njia ya kuja kwangu kupitia hayo
Naam, Tubu kwa moyo wako wote nami nitafanya njia
Mwaliko wa Toba ya Baraka Read More »
Kwa sababu hiyo, Sitanyamaza kamwe
Mpaka haki ipatikane
Haki yako ipo
Ninayaona yote
Nilikupenda na nitazidi kukupenda
Kwa maana mimi ni Mungu wako
Nikupendaye
Mimi ni Mungu nikupendaye Read More »