Usitishwe na chochote, Mimi nipo
Furahia shangilia wewe uliye wangu
Starehe na utilize Moyo wako
Uambie Moyo wako upo salama kwa Mungu wako
Kwa maana, Mungu wako ni Mkuu kati ya hao wote
Usitishwe na chochote, Mimi nipo Read More »
Furahia shangilia wewe uliye wangu
Starehe na utilize Moyo wako
Uambie Moyo wako upo salama kwa Mungu wako
Kwa maana, Mungu wako ni Mkuu kati ya hao wote
Usitishwe na chochote, Mimi nipo Read More »
Mimi ndiye Mungu wako
Mimi ni wa Mwanzo na Mwisho
Mimi ndiye wako sahihi wa kufuata
Nifuate unijue mimi
Mimi ndiye Mungu wako Read More »
Nilikupenda na nitazidi kukupenda
Kwa maana mimi ni Mungu wako
Nikupendaye
Mimi ni Mungu nikupendaye Read More »
Sikia MWanangu sikia…
Kama vile baba mwema Ampendavyo mwanaye
Ndivyo nami nakujali wewe
Ninakupenda upeo
Sikia Mwanangu Sikiliza Read More »
Kwa nini unanionea haya?
Kwa nini unaona ugumu kunitaja?
Je, mimi si ndiye niliyefanya haya yote?
Kwa nini unaona haya juu yangu? Read More »
Nalikuita, Ukaja.
Kwa nini unasita sasa?
Songa mbele…
Mimi ni Mungu wako Nikuongozaye
Twende tusonge mbele Read More »
Ni afadhali kunikubali mimi, kuliko kunikataa
Kwa maana njia zangu ni njema
Je, ni kawaida mtu kukataa kitu kizuri na kuchagua kibaya?
La, Si kawaida.
Kama sio kawaida, wawezaje kunikataa?
Ni afadhali kunikubali kuliko kunikataa Read More »