Mimi ni Mungu Nikuwaziaye Mema

Kama ilivyo kwa mzazi anavyotamani kumfanyia mwanae mambo mazuri, Ndivyo nami ninavyokuwazia wewe

Kabla hujapendwa na mzazi wako, nalikupenda wewe

Naam, ninakuwazia mema na ninalenga kukutendea jambo jema

Njoo mwanagu, njoo nyumbani

Njoo mwanagu, njoo nikupendaye

Scroll to Top