Mimi ndiye Mungu wako
Mimi ndiye Mungu wako
Mimi ni wa Mwanzo na Mwisho
Mimi ndiye wako sahihi wa kufuata
Nifuate unijue mimi
Mimi ndiye Mungu wako Read More »
Mimi ndiye Mungu wako
Mimi ni wa Mwanzo na Mwisho
Mimi ndiye wako sahihi wa kufuata
Nifuate unijue mimi
Mimi ndiye Mungu wako Read More »
Sikia MWanangu sikia…
Kama vile baba mwema Ampendavyo mwanaye
Ndivyo nami nakujali wewe
Ninakupenda upeo
Sikia Mwanangu Sikiliza Read More »
Kama ilivyo kwa mzazi anavyotamani kumfanyia mwanae mambo mazuri, Ndivyo nami ninavyokuwazia wewe
Kabla hujapendwa na mzazi wako, nalikupenda wewe
Naam, ninakuwazia mema na ninalenga kukutendea jambo jema
Njoo mwanagu, njoo nyumbani
Njoo mwanagu, njoo nikupendaye
Mimi ni Mungu Nikuwaziaye Mema Read More »
Waambie watu wangu wajipe moyo
Waambie wasihofu wala kufadhaika
Kwa maana Mimi Naja kuwaokoa
Sitawaacha, Kwa kuwa Mimi ni Mungu wao
Watie moyo walio wangu Read More »
Rafiki…
Sikia sauti yangu na kupokea fundisho langu
Kwa maana huo ndio mwelekeo sahihi
Mwanagu Nisikilize Read More »
Mwanagu, Sikiliza sauti yangu nawe utanufaika…
Tazama nimepnga mambo mengi mema kwako
Naam… Yatakupata mema
Mimi Mungu nimesema
Mwanagu, Sikiliza sauti yangu nawe utanufaika Read More »
Nalikuita, Ukaja.
Kwa nini unasita sasa?
Songa mbele…
Mimi ni Mungu wako Nikuongozaye
Twende tusonge mbele Read More »