Sikia Mwanangu Sikiliza
Sikia MWanangu sikia…
Kama vile baba mwema Ampendavyo mwanaye
Ndivyo nami nakujali wewe
Ninakupenda upeo
Sikia Mwanangu Sikiliza Read More »
Sikia MWanangu sikia…
Kama vile baba mwema Ampendavyo mwanaye
Ndivyo nami nakujali wewe
Ninakupenda upeo
Sikia Mwanangu Sikiliza Read More »
Jipe moyo mwanagu kwa kuwa mimi ni Mungu wako
Hayo yote yatapita, Kama usiku uutanguliavyo mchana
Pambazuko laja na Baraka zako
Naam, Mimi ni Mungu wako
Jipe moyo, Mimi ni Mungu wako Read More »
Furahia shangilia wewe uliye wangu
Starehe na utilize Moyo wako
Uambie Moyo wako upo salama kwa Mungu wako
Kwa maana, Mungu wako ni Mkuu kati ya hao wote
Usitishwe na chochote, Mimi nipo Read More »
Mwanagu, acha dhambi zako na unirudie mimi.
Ninayafahamu mapungufu yako na madhaifu yako
Ninaweza kufanya njia ya kuja kwangu kupitia hayo
Naam, Tubu kwa moyo wako wote nami nitafanya njia
Mwaliko wa Toba ya Baraka Read More »
Kwa nini unanionea haya?
Kwa nini unaona ugumu kunitaja?
Je, mimi si ndiye niliyefanya haya yote?
Kwa nini unaona haya juu yangu? Read More »
Mimi ndiye Mungu niliyekuumba
Mimi ndiye niliyekupa uwezo wa kufikiri na kuamua
Je, unazani unaweza kunificha kitu?
Kwa nini unasema neno jema na kunuia neno baya?
Fahamu tuu kwamba ninajua yote.
Mimi Mungu huwezi kunificha kwa lolote Read More »
Wewe ni Taa, Taa imulikayo Gizani
Wenzio wako gizani, wewe ndio wa kuwaonyesha njia
Mimi ni mwanga, Naam wewe upo na mimi
Wamulike… Wajione
Wamulikie… Wanifuate
Kwa maana nawapenda wote.
Kwa maana nilivyokupenda wewe, nawapenda wao pia
Wewe ni Taa, Waangaze Read More »