• Sun. Mar 26th, 2023

Mungu.Me

Ujumbe wa Mungu Kwako

Mimi Mungu huwezi kunificha kwa lolote

ByMungu

Jul 22, 2021

Mimi ndiye Mungu niliyekuumba

Mimi ndiye niliyekupa uwezo wa kufikiri na kuamua

Je, unazani unaweza kunificha kitu?

Kwa nini unasema neno jema na kunuia neno baya?

Fahamu tuu kwamba ninajua yote.