Mimi Mungu huwezi kunificha kwa lolote

Mimi ndiye Mungu niliyekuumba

Mimi ndiye niliyekupa uwezo wa kufikiri na kuamua

Je, unazani unaweza kunificha kitu?

Kwa nini unasema neno jema na kunuia neno baya?

Fahamu tuu kwamba ninajua yote.

Scroll to Top