Kwa nini unaona haya juu yangu?
Kwa nini unanionea haya?
Kwa nini unaona ugumu kunitaja?
Je, mimi si ndiye niliyefanya haya yote?
Kwa nini unaona haya juu yangu? Read More »
Kwa nini unanionea haya?
Kwa nini unaona ugumu kunitaja?
Je, mimi si ndiye niliyefanya haya yote?
Kwa nini unaona haya juu yangu? Read More »
Waambie watu wangu wajipe moyo
Waambie wasihofu wala kufadhaika
Kwa maana Mimi Naja kuwaokoa
Sitawaacha, Kwa kuwa Mimi ni Mungu wao
Watie moyo walio wangu Read More »
Nalikuita, Ukaja.
Kwa nini unasita sasa?
Songa mbele…
Mimi ni Mungu wako Nikuongozaye
Twende tusonge mbele Read More »
Kama ilivyo kwa mzazi anavyotamani kumfanyia mwanae mambo mazuri, Ndivyo nami ninavyokuwazia wewe
Kabla hujapendwa na mzazi wako, nalikupenda wewe
Naam, ninakuwazia mema na ninalenga kukutendea jambo jema
Njoo mwanagu, njoo nyumbani
Njoo mwanagu, njoo nikupendaye
Mimi ni Mungu Nikuwaziaye Mema Read More »
Furahia shangilia wewe uliye wangu
Starehe na utilize Moyo wako
Uambie Moyo wako upo salama kwa Mungu wako
Kwa maana, Mungu wako ni Mkuu kati ya hao wote
Usitishwe na chochote, Mimi nipo Read More »
Rafiki…
Sikia sauti yangu na kupokea fundisho langu
Kwa maana huo ndio mwelekeo sahihi
Mwanagu Nisikilize Read More »
Wewe ni Taa, Taa imulikayo Gizani
Wenzio wako gizani, wewe ndio wa kuwaonyesha njia
Mimi ni mwanga, Naam wewe upo na mimi
Wamulike… Wajione
Wamulikie… Wanifuate
Kwa maana nawapenda wote.
Kwa maana nilivyokupenda wewe, nawapenda wao pia
Wewe ni Taa, Waangaze Read More »