Kwa nini unaona haya juu yangu?
Kwa nini unanionea haya?
Kwa nini unaona ugumu kunitaja?
Je, mimi si ndiye niliyefanya haya yote?
Kwa nini unaona haya juu yangu? Read More »
Kwa nini unanionea haya?
Kwa nini unaona ugumu kunitaja?
Je, mimi si ndiye niliyefanya haya yote?
Kwa nini unaona haya juu yangu? Read More »
Nilikupenda na nitazidi kukupenda
Kwa maana mimi ni Mungu wako
Nikupendaye
Mimi ni Mungu nikupendaye Read More »
Mimi ndiye Mungu niliyekuumba
Mimi ndiye niliyekupa uwezo wa kufikiri na kuamua
Je, unazani unaweza kunificha kitu?
Kwa nini unasema neno jema na kunuia neno baya?
Fahamu tuu kwamba ninajua yote.
Mimi Mungu huwezi kunificha kwa lolote Read More »
Kwa sababu hiyo, Sitanyamaza kamwe
Mpaka haki ipatikane
Haki yako ipo
Ninayaona yote
Samehe nawe utasamehewa.
Fadhili nawe utafadhiliwa.
Hifadhi nawe utahifadhiwa.
Wawezaje kujua thamani ya Huruma na Upendo wangu usipowatendea wengine kwa Huruma na Upendo?
Naam, mimi ni Mungu nikupendaye na Kukuhurumia.
Njoo Ujifunze Huruma na Upendo Wangu Read More »
Nuia kufanya Mambo mema mara zote, nawe utabarikiwa.
Kuwa na nia njema ni sawa na kutembea na Baraka zako.
Makusudio yako ndio Baraka zako
Kwa maana, ninaangalia nia za moyo wako, kwa kuwa huyo ndiyo wewe.
Lenga Kutenda mema nami nitakubariki Read More »
Mwanagu, acha dhambi zako na unirudie mimi.
Ninayafahamu mapungufu yako na madhaifu yako
Ninaweza kufanya njia ya kuja kwangu kupitia hayo
Naam, Tubu kwa moyo wako wote nami nitafanya njia
Mwaliko wa Toba ya Baraka Read More »