Wewe ni Taa, Waangaze

Wewe ni Taa, Taa imulikayo Gizani

Wenzio wako gizani, wewe ndio wa kuwaonyesha njia

Mimi ni mwanga, Naam wewe upo na mimi

Wamulike… Wajione

Wamulikie… Wanifuate

Kwa maana nawapenda wote.

Kwa maana nilivyokupenda wewe, nawapenda wao pia

Scroll to Top