• Sun. Mar 26th, 2023

Mungu.Me

Ujumbe wa Mungu Kwako

Mwongozo

  • Home
  • Ni afadhali kunikubali kuliko kunikataa

Ni afadhali kunikubali kuliko kunikataa

Ni afadhali kunikubali mimi, kuliko kunikataa Kwa maana njia zangu ni njema Je, ni kawaida mtu kukataa kitu kizuri na kuchagua kibaya? La, Si kawaida.  Kama sio kawaida, wawezaje kunikataa?

Sitanyamaza kamwe

Kwa sababu hiyo, Sitanyamaza kamwe Mpaka haki ipatikane Haki yako ipo Ninayaona yote

Sijakuita nikuache hapa

Sijakuita uishie hapa Nilikuita ili ufike mbali Naam Mbali kuliko hapa

Nalikujua wewe

Wakati ukiwa mdogo nalikujua, Wakati ungali kijana nalikutambua, Maisha yako yapo mikononi mwangu Ninazihesabu hatua zako zote Nimepanga kukupa wokovu Kwa maana mimi ndiye Mungu Niokoaye

Sikia Mwanangu Sikiliza

Sikia MWanangu sikia… Kama vile baba mwema Ampendavyo mwanaye Ndivyo nami nakujali wewe Ninakupenda upeo

Mimi ni Mungu nikupendaye

Nilikupenda na nitazidi kukupenda Kwa maana mimi ni Mungu wako Nikupendaye