Watie moyo walio wangu
Waambie watu wangu wajipe moyo
Waambie wasihofu wala kufadhaika
Kwa maana Mimi Naja kuwaokoa
Sitawaacha, Kwa kuwa Mimi ni Mungu wao
Watie moyo walio wangu Read More »
Waambie watu wangu wajipe moyo
Waambie wasihofu wala kufadhaika
Kwa maana Mimi Naja kuwaokoa
Sitawaacha, Kwa kuwa Mimi ni Mungu wao
Watie moyo walio wangu Read More »
Ni afadhali kunikubali mimi, kuliko kunikataa
Kwa maana njia zangu ni njema
Je, ni kawaida mtu kukataa kitu kizuri na kuchagua kibaya?
La, Si kawaida.
Kama sio kawaida, wawezaje kunikataa?
Ni afadhali kunikubali kuliko kunikataa Read More »
Kwa sababu hiyo, Sitanyamaza kamwe
Mpaka haki ipatikane
Haki yako ipo
Ninayaona yote
Sijakuita uishie hapa
Nilikuita ili ufike mbali
Naam Mbali kuliko hapa
Sijakuita nikuache hapa Read More »
Wakati ukiwa mdogo nalikujua,
Wakati ungali kijana nalikutambua,
Maisha yako yapo mikononi mwangu
Ninazihesabu hatua zako zote
Nimepanga kukupa wokovu
Kwa maana mimi ndiye Mungu Niokoaye
Wewe ni Taa, Taa imulikayo Gizani
Wenzio wako gizani, wewe ndio wa kuwaonyesha njia
Mimi ni mwanga, Naam wewe upo na mimi
Wamulike… Wajione
Wamulikie… Wanifuate
Kwa maana nawapenda wote.
Kwa maana nilivyokupenda wewe, nawapenda wao pia
Wewe ni Taa, Waangaze Read More »
Sikia MWanangu sikia…
Kama vile baba mwema Ampendavyo mwanaye
Ndivyo nami nakujali wewe
Ninakupenda upeo
Sikia Mwanangu Sikiliza Read More »