Mimi ni Mungu nikupendaye
Nilikupenda na nitazidi kukupenda
Kwa maana mimi ni Mungu wako
Nikupendaye
Mimi ni Mungu nikupendaye Read More »
Nilikupenda na nitazidi kukupenda
Kwa maana mimi ni Mungu wako
Nikupendaye
Mimi ni Mungu nikupendaye Read More »
Samehe nawe utasamehewa.
Fadhili nawe utafadhiliwa.
Hifadhi nawe utahifadhiwa.
Wawezaje kujua thamani ya Huruma na Upendo wangu usipowatendea wengine kwa Huruma na Upendo?
Naam, mimi ni Mungu nikupendaye na Kukuhurumia.
Njoo Ujifunze Huruma na Upendo Wangu Read More »
Mimi ndiye Mungu niliyekuumba
Mimi ndiye niliyekupa uwezo wa kufikiri na kuamua
Je, unazani unaweza kunificha kitu?
Kwa nini unasema neno jema na kunuia neno baya?
Fahamu tuu kwamba ninajua yote.
Mimi Mungu huwezi kunificha kwa lolote Read More »
Furahia shangilia wewe uliye wangu
Starehe na utilize Moyo wako
Uambie Moyo wako upo salama kwa Mungu wako
Kwa maana, Mungu wako ni Mkuu kati ya hao wote
Usitishwe na chochote, Mimi nipo Read More »
Jipe moyo mwanagu kwa kuwa mimi ni Mungu wako
Hayo yote yatapita, Kama usiku uutanguliavyo mchana
Pambazuko laja na Baraka zako
Naam, Mimi ni Mungu wako
Jipe moyo, Mimi ni Mungu wako Read More »
Mwanagu, acha dhambi zako na unirudie mimi.
Ninayafahamu mapungufu yako na madhaifu yako
Ninaweza kufanya njia ya kuja kwangu kupitia hayo
Naam, Tubu kwa moyo wako wote nami nitafanya njia
Mwaliko wa Toba ya Baraka Read More »
Kama ilivyo kwa mzazi anavyotamani kumfanyia mwanae mambo mazuri, Ndivyo nami ninavyokuwazia wewe
Kabla hujapendwa na mzazi wako, nalikupenda wewe
Naam, ninakuwazia mema na ninalenga kukutendea jambo jema
Njoo mwanagu, njoo nyumbani
Njoo mwanagu, njoo nikupendaye
Mimi ni Mungu Nikuwaziaye Mema Read More »